Msemaji wa familia ya Marehemu Gebo Peter, Peter Tino ambae pia ni kaka wa marehemu (wa kwanza aliesimama) akiwa pamoja na baadhi ya wachezaji wa zamani kulia kwake ni Aboubakar Kombo aliekaa kuanzia kulia ni Idi Pazi ambae ni kocha wa makipa wa Simba akifuatiwa na Khamis Kondo na David Mwakalebela wakiwa nyumbani kwa marehemu Vingunguti.(Picha na Evance Ng'ingo).
Home
Unlabelled
Maendeleo ya Msiba wa Gebbo Peter nyumbani kwake Vingunguti,jijini Dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Poleni sana wafiwa R.I.P Ghebo
ReplyDelete