Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete akimsikiliza kwa makini Ofisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Dr. Emmanuel Francis wakati akitoa taarifa ya huduma zilizotolewa na Mfuko katika maadhimisho ya uchangiaji damu mkoani Kigoma, pembeni ni Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dr. Kebwe S. Kebwe.
Baadhi ya Wananchi wa Mkoa wa Kigoma waliojitokeza kwenye siku ya Uchangiaji Damu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...