Meya Wa manispaa ya Ilala Mh Jery Silaa akikabidhiana Mikataba na Mkandarasi kwa Ajili ya mradi wa maji kwa kata za Kipunguni B na Kivule.
Mkandarasi
kutoka Kika Construction Mbaraka Kihawe wa pili kutoka kushoto akitia
sahihi mkataba wa ujenzi wa mradi wa Maji kata za Kipunguni B na Kivule
na Manispaa ya Ilala,Meya Wa Manispaa ya Ilala(mwenye miwani)akishuhudia
Mwanasheria wa Manispaa Kulia akitia sahihi Mikataba Hiyo.
Wanainchi wa kata Za Kivule na Kipunguni B wakifuatilia utiaji sahihi wa mikataba hiyo kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa Maji.PICHA ZOTE NA DJ SEK BLOG.PICHA ZAIDI INGIA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...