Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF nchini Balozi Ali Mchumo akizungumza na Wadau wa mfuko huo ambapo alisema NHIF imekusudia kuboresha mfuko huo ili kuondoa kero kwa wanachama  hususani upatikanaji wa dawa.
Mgeni rasmi katika Mkutano wa Wadau wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya mkoa wa Tabora Bw.Elibariki Kingu ambaye alimwakilisha mkuu wa mkoa wa Tabora,Mkutano uliofanyika katikaukumbi wa Isike Mwanakiyungi ambapo wadau walikuwa wakijadili Changamoto mbalimbali ikiwa na lengo la kuboresha mfuko huo kwa wanachama wake.
Kaimu mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF Bw.Hamisi Mdee akielezea malengo ya mkutano huo wa wadau ambapo pamoja na mambo mengine alihimiza wadau kujitokeza kufungua maduka ya dawa muhimu vijijini ambayo yatasajiliwa  NHIF na yatakuwa yakitoa huduma kwa wanachama wa Mfuko wa Afya ya Jamii.
Katibu tawala mkoa wa Tabora Bi.Kudra Mwinyimvua akizungumza katika mkutano huo

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...