Home
Unlabelled
NEWS ALERT: historia yawekwa Mbeye leo kwa uzinduzi wa lifti ya kwanza jijini humo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
The mdudu,haki ya mungu mambo yenyewe ndio kama hivi serikali sio ombi bali ni lazima.hii ni aibu kubwa kwa taifa kama hili la Tz lenye mali lukuki huku vitu kama hiyo LIFT ionekane lulu,
ReplyDeleteaibu kubwa hii
ReplyDeleteHAHAHAHAHAHAHAHA DAH
ReplyDeleteNorth American they call Elevator!
ReplyDeleteAaaah... what a joke!
ReplyDeleteIs this the news?!
ReplyDeleteNi vichekesho tu kwa wengi. Msitucheke sisi wakina Mwanafyale
ReplyDeleteNi hatari kupiga hodi kwenye lift cool
ReplyDeleteMbeya
ReplyDeleteLift inazinduliwa kwa sherehe!! Au jengo ndo limezinduliwa? Kaazi kweli kweli!
ReplyDeleteHahahahah duh hii kali can we call it launching jamani jamani jamani this is a shame
ReplyDeleteNi aibu hii. Kuzindua lift??
ReplyDeleteHahahahahahaaaaaa, duh hii kali. lakini jamani msitufanyie hivyo watu wa mbeya, kweli jamani. hii imeniongezea maisha kwa kicheko.
ReplyDeleteHii pia itaendana na ongezeko la kisukari, pressure na magonjwa mengineyo yatokanayo na ukosefu wa mazoezi.
ReplyDeleteHuo ni uongo wa mchana,lift ya kwanza how,wakati pale BOT lift ipo zaidi ya miaka kumi
ReplyDeleteYaaani unakusudia lift ya kwanza tokea tz ipate uhuruu?! Dah jamani!!!!!!!.
ReplyDeleteHao walioandika hilo neno UZINDUZI WA LIFTI YA KWANZA MBEYA naomba wakamatwe na kufunguliwa mashitaka. Nani aliwaambia Mbeya hakujawahi kuwa na lifti. Nakamilisha research yangu hapa alafu nitaituma, hapa hapa. Na nitafungua kesi mahakamani kuhusiana na ili na wanatakiwa walipe faini. msiwe mnakurupuka vitu vingine ni aibu sana.
ReplyDelete