Home
Unlabelled
News alert: Mama Mzazi wa Mhe Zitto Kabwe Afariki dunia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
inna lillah wa inna ilayhi rajiun, Allah amsamehe madhambi yake
ReplyDeleteMola amuhifadhi salama yeye na umat muhhamad kilichobaki dua mtoto kumuombea mama
ReplyDeletepole sana mungu akupe moyo wa ushajaa katika hiki kipindi kigumu cha majonzi.
ReplyDeleteHakika sisi sote ni milki ya Allah na kwake tutarejea. Pole jembe ktk kipindi hiki kigum. Mungu akuongoze ktk kubainisha haki
ReplyDeletesisi ni wa Allah na kwake tutarejea.pole sana
ReplyDeletePole kwa yote na Mwenyezi Mungu akutie nguvu na kukupa faraja wewe na wafiwa wote.
ReplyDeleteKaka ZITTO,POLE SANA!! Allah akupe moyo wa subira na hekima kwa machungu ya kuondokewa na kipenzi MAMA! Ni ngumu lakini utaweza kupita majaribu ya dunia! Tutakukumbuka kwenye sala zetu.! INNAH LLAH WA INNA ILLAIHI RAJIUUN!
ReplyDeleteMdau/ ughaibuni
Mapenzi ya MUNGU na yatimizwe. Pole sana ndg.
ReplyDeleteInna lillah waina illaih raajiun. Kwa hakika innallah maswabilin. Mwenyezi Mungu S.W amuhifadhi malim pema Inn Shaah Allah.
ReplyDeleteMUNGU AKUTIE NGUVU!
ReplyDeleteInnalillahi wa Inna ilayhi rajiuna
ReplyDeleteMUNGU AKUTIE NGUVU
ReplyDeleteBwana alitoa na Bwana Ametwaa jina lake lihimidiwe. Pole sana Mhe. Zitto, Mungu akupe faraja kipindi hiki kigumu. Kwa upande mwingine nashauri Serikali ijitahidi kuongeza nguvu kwenye ugonjwa huu wa kansa maana kwa sasa unamaliza watu wengi kuliko kuelekeza nguvu tu kwenye ukimwi, jitihada zifanyike kwa yote mawili. niliwahi kusikia kuna chanzo kwa watoto wa kike kabla hawajafikisha miaka 12 lakini sioni kama kuna jitihada za kuwafikia hao watoto hata kwa kuwafuata mashuleni. Pole sana mhe.zitto tunakuombea kwa Mungu akutangulie wewe na familia kumhifadhi mama yetu kwenye nyumba yake ya milele.
ReplyDeleteMwenyezi Mungu amrehemu apate pumziko la amani. Amen
ReplyDelete