Dokta Ali Mtulia, Meneja wa Mafao ya Matibabu NSSF akizungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali Mstaafu Fabian Massawe, watatu toka kushoto, Huku Mganga mkuu wa mkoa wa Kagera Dr.Ruta Thomas(wa kwanza kushoto), Mkurugenzi wa wilaya ya Bukoba, Bw.Adoh Mapunda(wa pili Kulia) na Mwenyekiti wa Chama cha Msalaba Mwekundu Kagera , Bw.Leonard F Kachebonah0 (wan ne toka kushoto) wakisikiliza kwa Makini.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Masawe (katika), akikagua mabanda wakati wa zoezi la kupima afya bure kwa wakazi wa Mkoa wa Kagera.
Ofisa Uhusiano Jumanne Mbepo akimkabidhi Mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali Mstaafu Fabian Massawe vipeperushi na Fulana alipotembelea banda la kutoa elimu kwa umma juu ya NSSF.
Wakazi wa mkoa wa Kagera wakijiandikisha kwa ajili ya kupima afya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...