Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere akitokea Toronto Canada ambapo yeye na mwenyeji wake waziri Mkuu wa Canada Stephen Harper waliongoza mkutano wa kimataifa uliohusu kuboresha afya ya wanawake na watoto na kupunguza vifo vya wanawake wanapojifungua.(picha na Freddy Maro)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...