Chama cha Wabunge Marafiki wa Mazingira (TAPAFE),kwa kushirikiana na Baraza la Usimamizi wa Mazingira,na Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa(UNEP),wameandaa semina kwa ajili ya wajumbe wa chama hicho mjini Dodoma,jumamosi tarehe 14 Juni 2014 na jumapili tarehe 15 Juni 2014 kuhusu Athari za Mabadiliko ya Tabianchi katika Maendeleo ya Nchi.
Waziri wa Nchi (Kazi Maalum) Ofisi ya Rais,Prof. Mark Mwandosya akitoa mada Kuhusu Changamoto za Mazingira ya Bonde la Ziwa Victoria na Bonde la Mto Nile.
Mheshimiwa Dr. Binilith Mahenge,Waziri wa Nchi (Mazingira) akifungua rasmi semina hiyo.Kushoto kwake ni Mhe. Cynthia Ngoye,Mwenyekiti wa TAPAFE.
wajumbe wakisikiliza kwa makini mada inayotolewa.
wanachama na wa TAPAFE wakiwa pamoja baada ya kuhitimisha Semina.Waliokaa kutoka kushoto ni Dr Vedast Makota,Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NEMC;Mhe.Anastazia Wambura;Mhe Lediana Mng'ong'o;Profesa Mark Mwandosya, Waziri wa Nchi (Kazi Maalum) Ofisi ya Rais;Mhe. Cynthia Ngoye,Mwenyekiti wa TAPAFE;Mhe. Dr Binilith Mahenge,Waziri wa Nchi (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais;Mhe Lolesia Bukwimba,Katibu wa TAPAFE;Mhe.Susan Kiwanga; na Mhe.Luckson Mwanjale.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...