Wagombea wa nafasi ya Urais katika Klabu ya Simba, Evans
Aveva (katikati) na Andrew Tupa na wakipiga kura
wakati wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa klabu hiyo uliofanyika jijini Dar es
Salaam.
Hassan Dalali akipiga kura.
Mbunge wa Ilala, Mussa Azan Zungu na Rais wa Simba anayemaliza muda wake, Ismail Aden Rage wakipiga kura.
Rais wa Simba aliyemaliza muda wake, Ismail Aden Rage akiagana na mgombea wa Urais wa Simba, Evans Aveva (katikati).
Wagombea wakitafakari.
PICHA ZAIDI YA TUKIO HILI BOFYA HAPA
Mbunge wa Ilala, Mussa Azan Zungu na Rais wa Simba anayemaliza muda wake, Ismail Aden Rage wakipiga kura.
Rais wa Simba aliyemaliza muda wake, Ismail Aden Rage akiagana na mgombea wa Urais wa Simba, Evans Aveva (katikati).
Wagombea wakitafakari.
PICHA ZAIDI YA TUKIO HILI BOFYA HAPA
Mgombea ana dola hamsini kama mbili hivi mkononi. Hivi siku hizi dola inatumika kama shillingi vile Tanzania? Naona hata magari au nyumba zinazouzwa bei zake ni dola $$. Wataalamu wa uchumi naomba maoni yenu kuhusu matumizi ya dola hivi yanaisadia shillingi yetu? Je, kuhusu uchumi inakuwaje?
ReplyDelete