Nauza tractor Massey Ferguson 135 kwa bei poa,kwa maelezo zaidi unaweza wasiliana kwa email hii misasophie@yahoo.com ama kwa simu 078808819

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 05, 2014

    Hiyo namba ya simu haijakamilika

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 05, 2014

    Trekta hilo bei ni biloni ngapi?

    Maana watanzania kwa sasa kuwa Laki si pesa tena kila bidhaa tunaanzia bei ya Bilioni!!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 05, 2014

    Kilimo nacho ni kazi ya maana zaidi ya Wizi, na Utapeli Mijini!

    Tuache Usanii mijini tununue matrekta twende shamba tukalime!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 05, 2014

    kipindi cha nyuma kuna mdau alisema alilipenda tractor aina ferguson lililokuwa likinadiwa,alikataa kulinunua sababu tu jina lake ni la timu ambayo haipendi.nadhani sasa hana sababu tena ya kutokulinunua.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...