TANGAZO MAALUM NA MUHIMU
Ninapenda kuwatumia Watanzania wote habari hii kuhusu hisa za kampuni ya 'Swala Energy' zinazotolewa kwa mara ya kwanza kwa shilingi 500 kwa hisa.
Kuna wenye uzoefu wa kufanya shughuli hizi za ununuzi na uuzaji wa hisa lakini kuna wengine ambao wangependa kuanza kufanya kuwekeza kwa njia hiyo.
Ni vyema wananchi wawe na habari hizi ili wafanye uamuzi unaofaa badala ya kutokujihusisha na shughuli hii kwa sababu ya kukosa habari au kutokufahamu kinachoendelea.
Ninaambatanisha habari.
Wasalaam, Dr Casta Tungaraza
Tanzania's Tourism Goodwill Ambassador in Australia
199 Oxford St,
Leederville 6007,
Western Australia
Sasa tuelezeni tunafanyaje kununua hizo hisa? Please..
ReplyDelete
ReplyDeletewasiliana nasi kwa ushauri na maelekezo zaidi.
Zan Securities Ltd
+255 22 2126415
info.dsm@zansec.com
Financial and Investment Principles:
ReplyDelete''The more the Risk the more Return on investment''
The Government has clearly described that the Oil and Gas at such a block is legally under prospecting is still under exploration, that means IT CAN STRIKE or IT CAN MISS TO STRIKE.
The rooms to Invest are open but to potential investors who are ready to swim across such a river above!