TANGAZO MAALUM  NA MUHIMU
Ninapenda kuwatumia Watanzania wote habari hii kuhusu hisa za kampuni ya 'Swala Energy' zinazotolewa kwa mara ya kwanza kwa shilingi 500 kwa hisa. 
 Kuna wenye uzoefu wa kufanya shughuli hizi za ununuzi na uuzaji wa hisa lakini kuna wengine ambao wangependa kuanza kufanya kuwekeza kwa njia hiyo. 
 Ni vyema wananchi wawe na habari hizi ili wafanye uamuzi unaofaa badala ya kutokujihusisha na shughuli hii kwa sababu ya kukosa habari au kutokufahamu kinachoendelea. 
 Ninaambatanisha habari. Wasalaam, Dr Casta Tungaraza 
 Tanzania's Tourism Goodwill Ambassador in Australia 
 199 Oxford St, 
Leederville 6007, 
Western Australia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 18, 2014

    Sasa tuelezeni tunafanyaje kununua hizo hisa? Please..

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 19, 2014


    wasiliana nasi kwa ushauri na maelekezo zaidi.

    Zan Securities Ltd
    +255 22 2126415
    info.dsm@zansec.com

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 19, 2014

    Financial and Investment Principles:

    ''The more the Risk the more Return on investment''

    The Government has clearly described that the Oil and Gas at such a block is legally under prospecting is still under exploration, that means IT CAN STRIKE or IT CAN MISS TO STRIKE.

    The rooms to Invest are open but to potential investors who are ready to swim across such a river above!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...