Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (wapili kushoto), Inspekta Jenerali
wa Polisi (IGP) Ernest Mangu (kushoto), Kamishna Mkuu wa Idara ya Uhamiaji, Sylvester
Ambokile (wanne kushoto) wakipokea taarifa kuhusu Mfumo wa Ufuatiliaji wa Mienendo
ya Watu (Public Surveilance Sytem (Global eye) kutoka kwa Mtaalam wa Kampuni ya Telecom ya
nchini China. Waziri Chikawe na ujumbe wake wapo jijini Beijing, China kwa
ziara ya kikazi.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akimsikiliza kwa makini
Mwenyekiti wa Kampuni ya Kutoa Huduma ya Mawasiliano nchini China, Li Ping
alipokuwa akimfafanulia masuala mbalimbali ya mawasiliano yanayofanywa na Kampuni
yake. Waziri Chikawe yupo jijini Beijing nchini humo na Inspekta Jenerali wa Polisi
(IGP) Ernest Mangu, Kamishna Mkuu wa Idara ya Uhamiaji, Sylvester Ambokile kwa
ajili ya ziara ya kikazi.
.jpg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...