Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Abdallah Omari Kigoda akiweka sahihi Hati ya Ushirikiano wa Kimaendeleo kati ya Tanzania na Jumuiya ya Ulaya yenye thamani ya Euro 626 milioni zitakazotelewa katika kipindi cha miaka Sita 2014-2020. Hati hii imesainiwa Nairobi Kenya. Anayeshuhudia ni Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala.
Home
Unlabelled
WAZIRI KIGODA ATIA SAHIHI HATI YA EURO MILIONI 626
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...