Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Abdallah Omari Kigoda akiweka sahihi Hati ya Ushirikiano wa Kimaendeleo kati ya Tanzania na Jumuiya ya Ulaya yenye thamani ya Euro 626 milioni zitakazotelewa katika kipindi cha miaka Sita 2014-2020. Hati hii imesainiwa Nairobi Kenya. Anayeshuhudia ni Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...