


Waziri wa Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kushoto), akinunua CD ya filamu
mpya iitwayo ‘I Love Mwanza’, iliyoandaliwa na Lake Zone Youth Empowerment
Foundation kwa kushirikiana na Tropical Media Tanzania Ltd, baada ya kuizindua
katika hafla iliyofanyika jijini Mwanza Jumamosi usiku. Waziri Membe aliwezesha
filamu hiyo kununuliwa na wadau kwa zaidi ya Milioni 50/- katika hafla hiyo.
Kulia ni Msanii wa Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’.
![]() |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...