Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Dk. Eng. Binilithi Satano Mahenge wa pili (kulia), akiwa katika ziara yake ya kukagua mazingira ya Kiwanda cha bia (TBL) kilichopo kata ya Pasiasi wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, na wa pili (kushoto) ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng. Angelina Madete,wakati maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani yakiendelea jijini Mwanza.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais -Mazingira, Mh. Dk. Eng. Binilithi Satano Mahenge wa tatu (kulia)akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa kiwanda cha bia bw. Said Lwambo wa kwanza (kushoto) juu ya jinsi mashine za Majitaka za kiwanda cha TBL kinavyofanya kazi na kulinda Mazingira.
Mh. waziri wa Nchi Ofisi ya makamu wa Rais -Mazingira,Dk. Eng. Binilithi Satano Mahenge wa kwanza (kulia), Naibu Waziri Mh. Ummy Mwalimu wa kwanza (kushoto)na Mkuu wa Mkoa Eng. Everist Ndikilo wa pili (kulia) wakizungumza na mmiliki wa Kiwanda cha Coca Cola (Nyanza bottling) Bw. Christopher Mwita Chuma baada ya kuwasili ofisini kwake leo jijini Mwanza.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mh. Ummy Mwalimu wa kwanza (kushoto)akiwa anafanya usafi eneo la mtaa wa Pamba A jijini Mwanza stendi ya zamani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...