Mbunge wa viti maalum, Mhe.Susan Kiwanga akiwapa maelezo wanachuo kutoka chuo cha Uuguzi cha Edgar Maranta Ifakara ambao wapo katika ziara ya kimafunzo Bunge.
Mbunge wa Chalinze Mhe.Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wanafunzi kutoka Mvomero ambao wapo katika ziara ya kimafunzo katika kujionea shjughuli za Bunge.
Mhe.Ridhiwani Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na na Wanafunzi kutoka Mvomero katika viwanja vya Bunge.
Mbunge wa Mvomero Mhe Amos Makala ambaye pia ni Naibu Waziri wa Maji (katikati mbele) akiwatembeza wanafunzi kutoka jimboni mwake ambao wametembelea Bunge katika ziara ya ziara ya kimafunzo.
Wanafunzi kutoka Shule ya Saba Saba Iringa Wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri Ofisi ya Rais Asiye na Wizara Maalum amahe Prof.Marck Mwandosya ( Mstari wa NyumaKatikati) mbele ya Ukumbi wa Bunge.
.
-Wanafunzi kutoka Shule ya M/Singi St.Theresia ya Mbezi Dar es Salaam ambao wapoi katika ziara ya kimafunzo wakiwa katika picha ya pamoja mbele ya jingo nla bunge Dodoma
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Chem-Chemu Iliyopo Ndachi, Nkuhungu Dodoma wakiwa wamekaa wakijisomea vipeperushi yenye kuonesha taratibu na shughuli za bunge kila siku,wakati wakisubiri usafiri mara baada ya bunge kuahirishwa. Na Deusdedit Moshi Mtendaji Mkuu wa Photo Solutions wawakilishi wa Mchuzi Blog Kanda ya Kati.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...