Jina: Dickson Samwel Mbiling'i
Umri miaka 27
Kabila: Mkinga
Dini: Mkristo
Maeneo anayopenda kutembelea:
Iringa, Mbeya, Dar es Salaam na Bagamoyo.

Mtajwa hapo juu anatafutwa na ndugu zake. Kwa mara ya mwisho alionekana nyumbani kwake Mwananyamala Mchangani jijini Dar es Salaam siku ya Jumatano ya  Julai 2, 2014.

Wajihi wake ni maji ya kunde mrefu kiasi mwembamba wa wastani. Msamaria mwema yeyote mwenye taarifa zake au atakayemuona popote anaombwa kuwasiliana na ndugu zake kwa namba:-

0754 477226-Moses Mbiling'i
0754 301095-Adrew Mwilingu
0757 000014-Bartholomew Mbiling'i
0784 890389-Ahadi Kakore.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. God help him where ever he is now!Please brother come back....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...