Balozi wa Tanzania katika Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Geneva,  Mhe.  Modest Mero (kanzu jeupe) akila futari pamoja na wageni wake mbalimbali wakiwepo watanzania waishio Geneva katika futari maalum aliyowaandalia nyumbani kwake jana. 
wageni mbalimbali wakijipakulia futari hiyo katika makazi ya Balozi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 12, 2014

    Pamoja na kuheshimu mila za kidini, naomba nifundishwe; kwani nafundishika:
    Je, Waisalmu wangu hawa wataendelea kukalia mikeka hadi lini. Najua dini hii ilianzia katika mazingira ya mahema. Lakini siku hizi wanaweza tu kuweka meza!

    Hayo ya kuvua viatu niliishafundishwa, na nikafundishika!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 13, 2014

    Anony 1 kwa taarifa yako kukalia mkeka si umaskini, kiafya ni bora zaidi kuliko mezani inashauriwa hivyo ili chakula kiteremke vizuri, miguu,mikono na tumbo vipate starehe (relax) hata ulainishaji chakula (digestion) unachukua muda mfupi, hii imo katika hadithi. Sambamba na kulala katika mkeka ni bora zaidi kuliko katika magodoro na vitanda.Chukua hatua anza sasa. Si kila kitu cha mzungu ni cha kuiga.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 13, 2014

    Asante, Hiyo ni sehemu moja tu ya uchangiaji.KKira suala lina pande mbili, ama sarafu>

    Sikusema kuwa tuige kila la mzungu.

    Na hiyo ya kutumia mikono badala ya vijiko, uma na visu, nayo yanipa utata.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 15, 2014

    Kweli kabisa jamaa anauliza mwaswali ya msingi. Kwani hata unaposema kuwa tusiige kwa wazungu hizi sio mila zetu za mababu zetu wa zamani. Hizi hapa ni mila ka kiarabu, sio kiafrika.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...