Ofisa Masoko wa Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania UTT,
Waziri Ramadhani akijaza fomu ya mtoto aliyejiunga na Mfuko wa Watoto wakati wa
Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (DITF), kwsenye Viwanja vya Mwalimu
Nyerere jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni Ofisa Masoko Mwandamizi
wa UTT, Martha Mashiku.
Mtoto aliyejiunga na Mfuko wa watoto akipewa zawadi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...