Bidhaa mchanganyiko za Afri Tea and Coffee Blenders (1963) LTD katika banda la kampuni hiyo kwenye maonesho ya SabaSaba jijini Dar es salaam
 Mdau Sinda Leonard Sinda, Afisa Mauzo Mwandamizi wa  Afri Tea and Coffee Blenders (1963) LTD akiwa tayari kukuhudumia bandani pao
 Sehemu ya bidhaa mchanganyiko za Afri Tea and Coffee Blenders (1963) LTD
 Mgeni akipewa maelezo ya bidhaa ya Mchaichai (Green Tea) inayotengenezwa na  Afri Tea and Coffee Blenders (1963) LTD
Kikosi kazi cha  Afri Tea and Coffee Blenders (1963) LTD kwenye maonesho ya SabaSaba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 02, 2014

    Siku hizi tunajitahidi kupaackage bidhaa kama chai na kahawa kwa standard nzuri..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...