Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Elimu wa Bonnah (Bonnah Education Trust Fund), Bonnah Kaluwa (wa pili Kulia) akizungumzia uzinduzi wa Awamu ya Pili ya Mpango wa ‘Elimu Mwanzo Mwisho’, ambapo wanafunzi wengine 100 wasio na uwezo na yatima wa jijini Dar es Salaam watakaofaulu kujiunga na elimu ya sekondari watanufaika na mpango huo kwa kulipiwa ada.Mfuko huo umeandaa Chakula cha Hisani Agosti mwaka huu.
Meneja Rasilimali Watu na Utawala wa Kampuni ya Aramex Tanzania Limited,  Jane Njagi (kushoto) akizungumzia namna kampuni yake ilivyoamua kuwaunga mkono Bonnah Education Trust Fund kwa kuwadhamini kuhakikisha watoto 100 wanapata ada za elimu ya sekondari.
1.    Meneja Mkazi wa Kampuni ya Resolution Health, Oscar Osula (kulia) akielezea kampuni hiyo kuwa moja ya wadhamini wa mpango huo wa kuwawezesha watoto wasio na uwezo na yatima kupata elimu ya sekondari.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...