Timu ya Liverpool imethibitisha kukamilisha usajili wa mchezazji Divock Origi kutoka timu ya Lille. Mchezaji huyo mwenye miaka 19, alisikika akisema amefurahi sana kujiunga na Liverpool timu kubwa Uingereza yenye historia ndefu na yupo tayari kucheza kadri ya uwezo wake akisaidiana na wachezaji wenzake kuipeleka Liverpool mbele.
Home
Unlabelled
BWAWA LA MAINI OYE!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...