Mkurugenzi
wa viwanda vidogo na biashara ndogo ndogo na za kati kutoka Wizara ya Viwanda
na Biashara, Consolata Ishebabi akizungumuza
na wajasiriamali kutoka mikoa ya Mbeya, Arusha na Dar es Salaam waliopata
mafunzo juu ya uendeshaji biashara, kabla ya kupata fedha kwa ajili ya mitaji
kutoka taasisi ya kifedha ya FAIDIKA. Katikati ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa
FAIDIKA Marion Moore na kulia ni Mwalimu wa wajasiriamali Bi. Mariam Tambwe.
Mkurugenzi wa viwanda vidogo na biashara ndogo
ndogo na za kati kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara, Consolata Ishebabi akimkabidhi zawadi Bi. Joan
Kitembe kutoka Mkoa wa Arusha, baada ya kuibuka mshindi wa kanza kimkoa katika
mashindano ya kuandika mchanganuo wa biashara ulioandaliwa na taasisi ya
kifedha ya FAIDIKA. Wapili kushato ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa FAIDIKA Marion
Moore na kulia ni Mwalimu wa wajasiriamali Bi. Mariam Tambwe.
Mkurugenzi wa viwanda vidogo na biashara ndogo
ndogo na za kati kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara, Consolata Ishebabi akimkabidhi zawadi Bi. Bahati
Bukubilo kutoka Mbeya, baada ya kuibuka mshindi wa kanza kimkoa katika
mashindano ya kuandika mchanganuo wa biashara ulioandaliwa na taasisi ya
kifedha ya FAIDIKA. Wapili kushato ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa FAIDIKA Marion
Moore na kulia ni Mwalimu wa wajasiriamali Bi. Mariam Tambwe.
Mkurugenzi wa viwanda vidogo na biashara ndogo
ndogo na za kati kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara, Consolata Ishebabi akimkabidhi zawadi Bw. Linus Mwangoya kutoka
Mbeya, baada ya kuibuka mshindi wa pili kimkoa katika mashindano ya kuandika
mchanganuo wa biashara ulioandaliwa na taasisi ya kifedha ya FAIDIKA. Wapili
kushato ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa FAIDIKA Marion Moore na kulia ni Mwalimu wa
wajasiriamali Bi. Mariam Tambwe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...