Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 03, 2014

    Nimependa sana hiyo intaviu yako bwa mathupu. Je ngoma azipendazo ankal inatoka kila baada ya muda gani? Na je ze-fulas leo hukuivaa - kwa nini? Na mwisho je KISIASA globu yako ina lalia upande was kushoto, kulia au katkati ?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 03, 2014

    neno jingine naamini ulilolibuni lililonivutia ni Vikwangua anga "magorofa"

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 03, 2014

    Hahahahhahahahaaa kumbe ni GLOBU na sio BLOG

    UK

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 03, 2014

    Bwana Mathupu naomba basi unijibu maswali yangu hapo juu?
    (a) ze-fulanas ilikuwa wapi leo katika intaviu yako? au ilikuwa inaoshwa ukaiweka juani kuanika?

    (b) je ni maneno gani ambayo yameshaingia katika kamusi ya kiswahili ambayo globu ya jamii imekuja nayo (au imeyaVUMBUA?). Hiyo ndio lugha inavyokuwa

    (c) je Globu ya Jamii inalalia upande gani kisiasa? Kushoto, Kulia au Katikati? Tuelezane kwa sababu hii itasaidia wasomi wa globu hii kuamua kusuka au kunyoa!

    Asante sana

    Joe....*mwandishi wa komenti ya kwanza - nasubiri majibu*

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 03, 2014

    Michuzi you are the best bloga in Tz. Keep it up! Kweli nimekua nje na Napata habari motomoto toka kwa Michuzi Blog. Asante sana.

    ReplyDelete
  6. David KyunguJuly 04, 2014

    Gwee Mnyambala, kwa kweli nimeipenda hii inteingewaokoarview, hasa hiyo style mliyotumia kwenye hiyo location! Ninaamini kwamba clip-mic ya kuzuia upepo ingewaondoleeni hizo kelele za upepo!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 04, 2014

    mikonozzzzzzz, ze fulanazzzzz, Libeneke, lugha gongana, yale yaleeeeee..., na mengine kibao uliyoanzisha ankal umesahau kuyataja bhana! Mpaka wengine wanaiga kwako. wewe ni mfani wa kuigwa. Iconic Tanzanian blogger. You are making history without knowing it my broda

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 04, 2014

    Uncle, Mimi ni mdau wa New York. Asante sana kwa kutuma interview hii nzuri. Na tunatoa shukrani kwa kuendelea kuwa karibu na sisi na kwa kutupeperushia habari zetu kila mara tunapokuomba.

    Idumu globu ya Jamii!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...