Makamu wa Rais-Utawala wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) William Kallaghe (wapili
kushoto) akipokea sehemu ya fedha taslim Tsh milioni 20 zilizotolewa na kampuni
ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kusaidia maandalizi
ya mashindano ya mwaka huu ya Riadha ya Kitaifa yatakayoanza leo katika uwanja
wa Taifa jijini Dar es Salaaam. Kulia ni Katibu na Mwanasheria Mkuu wa IPTL/
Pan African Power Solutions (PAP), Bw. Joseph Makandege, akifuatiwa na Msaidizi
wa kampuni hiyo Rajiv Bhesania na kushoto ni Katibu Mkuu wa RT, Suleiman
Nyambui.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui (wapili
kushoto) akipokea sehemu ya fedha taslim Tsh milioni 20 zilizotolewa na kampuni
ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kusaidia maandalizi
ya mashindano ya mwaka huu ya Riadha ya Kitaifa yatakayoanza leo katika uwanja
wa Taifa jijini Dar es Salaaam. Kulia ni Katibu na Mwanasheria Mkuu wa IPTL/
Pan African Power Solutions (PAP), Bw. Joseph Makandege, akifuatiwa na Msaidizi
wa kampuni hiyo Rajiv Bhesania na kushoto ni Makamu wa Raisi-Utawala wa RT,
William Kallaghe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...