Banda la NSSF linavyoonekana kwa nje.
 Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF)
 Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na watoto wa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dk. Ramadhani Dau wakati alipotembelea banda la NSSF. Kutoka kushoto ni Abeid, Zhulkifir na Thamrat Dau. 
Rais Jakaya Kikwete  akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Julius Nyamuhokya kuhusu mradi mkubwa wa ujenzi wa  mji wa kisasa unaojulikana kwa jina la Dege Eco Village utakaokuwa na nyumba za kuishi 7000 katika eneo la Dege Kigamboni jijini Dar es Salaam, mradi huo unatekelezwa kati ya NSSF kwa ushirikiano na kampuni ya Azimio. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya NSSF, Abubakar Rajabu na wa pili kushoto ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Abdallah Kigoda. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 06, 2014

    The mdudu.mjomba Michuzi tafadhari nakuomba unitafutie number ya simu ya huyo dada alievaa nguo zenye rangi ya BENDERA YA TAIFA LETU mm muda wa kuowa umewadia mm huwa napenda wadada wazalendo wenzangu maana mm ni mzalendo wa kwanza kwa taifa langu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 06, 2014

    Mzalendo unishi ughaibuni....???njoo vumbini huku tuuone uzalendo wako....Mdudu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 07, 2014

    The mdudu.sasa ww ndio yule dada au vipi? Kama ndio ww tupeane number plz mm kuishi ugaibuni wala siotatizo cha umuhimu kwanza ni mawasiliano.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...