Waziri wa Ujenzi Mh.John Pombe Magufuli ameendeleza wimbi la kuzoa wanachama wa CHADEMA hasa katika kata zinazoongozwa na Madiwani wa CHADEMA. Awamu hii amekomba wanachama wapatao 98 eneo la Mganza (Kasenda) na wanachama 160 eneo la Mganza (Katemwa) yote kata ya Mganza wilaya ya Chato.
Mh.Maduka Diwani wa CHADEMA Kata ya Mganza Wilaya ya Chato akimpongeza Mh.Magufuli baada ya Magaufuli kuzoa wanachama wa CHADEMA wapato 258.
Wanachama Wapya wakiorodheshwa ili kuapishwa na kugawiwa kadi
Umati mkubwa wa watu uliohudhulia mkutano Katemwa Kata ya Mganza Wilaya ya Chato
Mh.Magufuli akipata BIG UP kutoka kwa wanachama wapya Kasenda Kata ya Mganza Wilaya ya Chato
HUYU MAGUFULI AMEKUWA MTU CHAMA TENA SIO SERIKALI?
ReplyDelete