MA7Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha aliyevalia ushungi mweupe katikati Catherine Magige,akiwa na kikundi cha  akinamamalishe baada ya kuwawezesha vifaa vya upishi kwaajili ya kuendeleza biashara yao ya chakula katika eneo la kilombero jijini Arusha leo ambapo aliwawezesha wanawake wajasiliamili 150 wa jijini Arusha wanaojishughulisha na uuzaji wa mbogamboga,mama ntilie,machinga.
1.Wakina mama wakiwa wanamsikiliza Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha Mhe.Catherine Magige

2Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha Mhe.Catherine Magige akiwakabidhi kikundi cha akinamama kiasi cha shilingi laki mbili kwa kila kikundi ambapo alichangia jumla ya shilingi Milioni Moja na nusu kwa vikundi hivyo vya akina mama kwaajili ya kuwaezesha kuendeleza vikundi vyao vya vikoba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...