WAKAZI WAISHIO PEMBEZONI MWA BARABARA KUU YA IGUNGA - NZEGA WAKIMSILIZA WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KUHUSU OMBI LA KUWEKEWA MATUTA. HATA HIVYO WAZIRI WA UJENZI ALIWAJIBU KUWA SHERIA HAIRUHUSU KUWEKA MATUTA KWENYE BARABARA KUU ILA TANROADS ITAWEKA ALAMA ZA BARABARANI KATIKA ENEO HILO ILI WANANCHI HAO WASIPATE SHIDA YA KUVUKA BARABARA.
WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKIPANDA JUU YA DARAJA LA MBUTU ILI KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WAKE AMBAO UMEFIKIA ZAIDI YA ASILIMIA 98 ILI KUKAMILIKA.
WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI KATIKATI AKITEMBEA JUU YA DARAJA LA MBUTU AMBALO LINAKARIBIA KUKAMILIKA UJENZI WAKE. WA KWANZA KULIA NI KATIBU MKUU WA WIZARA YA UJENZI MHANDISI MUSSA IYOMBE .
WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKIPOKEA MAELEZO YA UJENZI WA DARAJA LA MBUTU.
KAZI ZA UJENZI WA TUTA LA DARAJA LA MBUTU UKIENDELE KWA KASI.
WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI WAKWANZA KUSHOTO AKIELEKEA KUWAHUTUBIA WANANCHI WA MBUTU MARA BAADA YA UKAGUZI WA DARAJA HILO LA MBUTU.
WAKAZI WA MBUTU NA IGUNGA WAKISHUKA KWENYE DARAJA LA MBUTU KWENDA KUMSIKILIZA WAZIRI WA UJENZI DKT.JOHN MAGUFULI KATIKA MKUTANO WA HADHARA.
SEHEMU YA TUTA LA DARAJA LA MBUTU LINAVYOONEKANA KATIKA PICHA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 12, 2014

    Safi magufuli...lakni vaa kichapakazi vijijini; sio hayo mavazi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...