Promota wa mbambano wa ngumi usiokuwa na ubingwa, Rashid Kipanga akiwatambulisha, Manenono Osward(Mtambo wa Gongo) kulia na Abdalah Pazi (Mudi Mbabe) wanaotarajia kuchuana Augosti 10,2014.Utambulisho wa pambano hilo ulifanyika katika Ukumbi wa Mwinjuma Dar es Salaam jana.
Mchezaji wa Ngumi, Abdalah Pazi (Mudi Mbabe) akisaini mkataba wa kupigana na Bondia Maneno Osward (Mtambo wa Gongo) hapo Augosti 10,2014 katika Ukumi wa CCM Mwinjuma jijini Dar es Salaam.Kulia ni Rais wa Chama cha Ngumi Tanzania(TPBC), Chaurembo Palasa akishuhudia.
Mchezaji wa Ngumi, Maneno Osward (Mtambo wa Gongo) akisaini mkataba wa kupigana na Abadalah Pazi (Mudi Mbabe) Augosti 10,2014 katika Ukumi wa CCM Mwinjuma jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Rais wa Chama cha Ngumi Tanzania(TPBC), Chaurembo Palasa akishuhudia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...