Mbunge
wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (kulia), akimkabidhi boksi la vyombo
na zawadi ya sh. 10,000 mmoja wa viongozi 912 wa matawi wa ya CCM na
jumuiya zake wa jimbo hilo, katika hafla ya kutoa mkono wa Idd el Fitr
Dar es Salaam jana. Kila mmoja alipata zawadi kama hiyo. Katika boksi
hilo kuna vikombe, birika, vijigo, sahani na chupa ya chai. Katikati ni
mke wa mbunge huyo, Mariam Mtemvu.
Mtemvu akimkabidhi Mwenyekiti wa UWT CCM tawi la Mji Mpya Kata ya Buza, Temeke.
Naibu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, akimkabidhi vyombo na sh. sh. 10,000 mmoja wa viongozi wa matawi wa CCM wa Jimbo hilo. Zawadi hizo zilitolewa na Mbunge wa Jimbo hilo, Abbas Mtemvu (kulia).
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Mtemvu akimkabidhi Mwenyekiti wa UWT CCM tawi la Mji Mpya Kata ya Buza, Temeke.
Naibu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, akimkabidhi vyombo na sh. sh. 10,000 mmoja wa viongozi wa matawi wa CCM wa Jimbo hilo. Zawadi hizo zilitolewa na Mbunge wa Jimbo hilo, Abbas Mtemvu (kulia).
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Hivi vyombo vyenye picha za Raisi vimetoka wapi? naona kila mtu anagawa tu kwenye jimbo lake. Nimeona kwenye majimbo manne sasa.
ReplyDelete