Afisa uendeshaji wa Mfuko wa PPF kanda ya Ziwa, Bi Grace Balele akirufahia jambo pamoja na wateja waliofika katika Banda la PPF kwenye Maonyesho ya Sabasaba leo kwaajili ya kujipatia huduma mbalimbali zitolewazo na mfuko huo wa Pensheni
  Afisa Mafao wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Hellen Mollel  akimsikiliza kwa umakini wa hali ya juu mmoja wa wateja waliofika katika banda la PPF kwenye maonyesho ya sabasaba leo tarehe 7-7-2014 kwaajili ya kutaka kufahamu huduma mbalimbali zinazotolewa na mfuko wa Pensheni wa PPF
 Afisa Uwekezaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Anna Shayo akiwahudumia kwa umakini wa hali ya juu wateja waliofika katika meza yake kwaajili ya kutaka kufahamu ni namna gani PPF inavyowekeza kwa kutumia michango ya wanachama wake
 
Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakiwahudumia wateja waliotembelea banda la PPF kwenye maonyesho ya Sabasaba leo kwaajili ya kupata maelezo ya huduma mbalimbali za PPF na jinsi ya kuweza kujiunga na mfuko huo kwa wafanyakazi wasio katika sekta isiyo rasmi.
Baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar wakiwa kwenye meza ya Maofisa wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wakati walipotembelea banda la PPF kwenye Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam kwaajili ya kujifunza mambo mbalimbali kutoka kwenye mfuko wa Pensheni wa PPF.Picha na Josephat Lukaza - Lukaza Blog

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...