Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Mhe Shaban Ally Lila kuwa Jaji Kiongozi Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Mhe Shaban Ally Lila kuwa Jaji Kiongozi Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014. Kushoto ni Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kwenye nyaraka baada ya kumwapisha Mhe Shaban Ally Lila kuwa Jaji Kiongozi Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na Jaji Kiongozi Mpya Mhe Shabn Ally Lila na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Naibu Waziri wa Sheria Mhe Angellah Kairuki (kulia), Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kushoto) , Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman (wa tatu kushoto) na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Omar Othman Makungu wa pili kushoto) Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mhe Shaban Ally Lila na familia yake baada ya kumuapisha kuwa Jaji Kiongozi Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mhe Shaban Ally Lila na majaji wa Mahakama ya Rufani baada ya kumuapisha kuwa Jaji Kiongozi Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mhe Shaban Ally Lila majaji wa Mahakama kuu baada ya kumuapisha kuwa Jaji Kiongozi Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mhe Shaban Ally Lila majaji wa Mahakama kuu baada ya kumuapisha kuwa Jaji Kiongozi Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mhe Shaban Ally Lila maafisa waandamizi wa Mahakama kuu baada ya kumuapisha kuwa Jaji Kiongozi Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mhe Shaban Ally Lila pamoja na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama baada ya kumuapisha kuwa Jaji Kiongozi Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mhe Shaban Ally Lila pamoja na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman ( kushoto) na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Omar Othman Makungu wa pili kulia) na Majaji Viongozi wastaafu Jaji, Fakihi Abdallah. Rheno Jundu (wa pili kushoto) na Jaji Amiri Ramadhani Manento baada ya kumuapisha kuwa Jaji Kiongozi Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Kiongozi Mpya Mhe Shabn Ally Lila na Waziri Mkuu Mizengo Pinda Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman (wa tatu kushoto) na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Omar Othman Makungu (wa kwanza kushoto) na Jaji Kiongozi mstaafu Fakihi Abdallah. Rheno JunduIkulu jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwapanga ili ku[ata picha nzuri na Jaji Mkuu Mpya Mhe Shaban Ally Lila. Picha na IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...