Home
Unlabelled
shimozzz upanga mbele ya shule ya Sekondari Tambaza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kikwete hajaliona?
ReplyDeleteHalmashauri husika iko wapi
ReplyDeleteHili lina uhusiano na matokeo mabaya ya Tambaza? Kuuliza si ujinga!!
ReplyDeletemdau nahisi litakuwa na mahusiano makubwa sana na matokeo mabaya ya hao watoto. unajua watoto wa siku hizi bwana wako kidijitali zaidi hawataki shida. wakiona wanazinguliwa wao ni kusepa zao kusiko julikana. ingekuwa ni ile tambaza iliyokuwa inafanya vizuri hadi kingeeleweka asingepita pita mtu hadi lizibwe. wale wa zama zile si unakumbuka kwenye mechi za mpira wa miguu na majirani zao ilikuwa hadi mtu ang'olewe miguu au atolee ngeu, sembuse kuwepo kwa shimo kubwa kama hilo mbele ya shule yao!??
ReplyDeletesio hilo tu jamani Kariakoo shule ya uhuru na congo tunaumia na mashimo maeneo yale watumiaji wa barabara ile ,muda unatumika mwingi kuvuka eneo lile jamani wahusika mtusaidie jamani pale ni shida
ReplyDelete