SI JAMBO LA KAWAIDA KUONA JOGOO AKIPIGANA NA KIVULI CHAKE,LAKINI JANA JOGOO MMOJA ALIZIPIGA KWELI KWELI NA JOGOO MWENZAKE ALIYEMUONA KWENYE KIOO KATIKA JENGO LA VING'AMUZI LA ZGC ZANZIGA RAHALEO,JOGOO HUYO ALIZUA KIOJA PALE ALIPOONDOSHWA NA NA KUONA HAIWEZEKANI KWAMBA KWANINI ANAONDOLEWA WAKATI HATA HAJAMTOA DAMU JOGOO HUYO,HAPO NDIPO ALIPOAMUA KURUDI TENA KWENYE MAPAMBANO HAYO YA MWENYEWE KWA MWENYEWE.....
Hapa Jogoo huyo alikuwa akikatiza katika eneo hilo na kumuona Jogoo mwengine kwenye kioo,kitu kinachoonekana hakikumpendeza Jogoo hasa alipoona anafuatwa fuatwa.
Mara akafyumu kwa Jogoo yule.
Akaanza kumlia denge.
Mara hasira zikapanda zaidi na kuanza kuzichapa na kioo hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 03, 2014

    Hahahaha

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 04, 2014

    inachekesha sana

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 05, 2014

    Dah!majogoo wengi ni shida tupu.mi mwenyewe jogoo wangu anakimbiza watu mpaka nimepata kesi.hahahaaaaa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...