Na Liberatus Mwangombe “Libe”
Ijumaa July 18, 2014 tulikuwa na mkutano kwenye ubalozi wa Tanzania Wshington D. C. ulio tuhusisha wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kwenye jumuia ya DMV, viongozi wa Tume ya Uchaguzi, ATC Metro Board members na kusimamiwa na balozi Liberata Mulamula. Kwenye mkutano huu wagombea tulitoa malalamiko ya jinsi uchaguzi umekuwa ukiendeshwa bila haki na sintofahamu lote linalo uzunguka uchaguzi huu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...