
Akizungumza na gazeti hili, Muhando
alisema Nkone tayari amekubali
kushiriki katika uzinduzi huo na ana matumaini litakuwa tamasha la aina
yake.Nkone ametamba na albamu mbalimbali ikiwemo Mungu Baba, Hapa
Nilipo,
Zipo Faida na Uniongeze Yesu.
Nyimbo zilizopo katika albamu hiyo mpya ya Muhando ni Bwana Niongoze, Wewe Waweza, Usiniache, Nibariki, Muongo, Kwema, Kamata Pindo la Yesu na Facebook.
Hivi sasa Muhando anatamba na albamu yake ya Utamu wa Yesu yenye nyimbo saba, ambazo ni Utamu wa Yesu, Raha Tupu, Tamalaki, Ndivyo Ulivyo, Woga Wako, Imbeni na Kusifu na Achia.
Mbali
na Utamu wa Yesu, Rose Muhando pia amewahi kutamba na albamu za Uwe Macho,
Nyota ya Ajabu (Zawadi ya Krismasi) na Jipange Sawasawa, Kitimutimu, Mungu
Anacheka, Wololo.Pia amepata kung’ara katika wimbo wa Vua Kiatu,
alioshirikiana na Anastazia Mukabwa wa Kenya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...