Baada ya kuvutiwa na ubunifu wa wajasiriamali vijana wa Kitanzania wanaokwenda kwa jina la KITAA WEAR Michuzi Media  Group chini ya Ankal imeona ni vyema kuwaunga mkono kwa kuweka oda kubwa ya T-shirts kwa ajili ya timu yake pamoja na wadau wa Globu ya Jamii na Michuzi TV. Wadau wengi wanavaa Kitaa Wear wakiwemo Diamond, Fid Q na mastaa wengine kibao. Kama umependezwa angalia maelezo hapo chini. Jamaa wako sharp na very professional. Siku nne tu mzigo tayari... KAZI KWAKO!
KITAA WEAR In Store Today
We got a variety of T-Shirts. Its your choice

You choose we deliver ....

Make your choice now and contact us:
WhatsApp / Viber: +255 754 310 202

BBM CHAT: 22696DDA

Skype: mwakatundu.m 
Twitter ; Mike_Tee1

Available colors for T-Shirts are (Brown,Black,Red,Blue and White)

Sizes Available ( Small, Medium,Large, Free Size, and Xtra Large)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 10, 2014

    Mabrook
    Naona hii ni fulannazzz babu mpya. Bana fanya maarifa basi na huku zifike, kama vile ziweke kwenye Amazon au ebay.Ukiniletea sampuli (janja mimi) nitakuintrodusi kwenye duka maarufu hapa Ukerewe.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 10, 2014

    Tuwa promote wajasiriamali hawa T-shirt zao ni nzuri. I hope ukifua kwa sabuni ya mti azitoi rangi.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 10, 2014

    Aaa! Mzee wa Bwawa la maini Big up.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 10, 2014

    Tshirt nzuir ila nyenkundo hizo HAPANA - Afrika hainonekani vizuri.

    Option 1 : Iwe na boarder ya rangine nyingine.

    Option 2 : Ramani ibadilishe Rangi.

    Zinagaiwa Bure?!?!?! Hehehehee

    How much?

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 10, 2014

    Safi saana Ankel.
    Nimeipenda Blue.Nikiipata hiyo itachukuwa nafasi ya zangu za "Chelsea" Kuna uwezekano wa kuzinunua "on-line" kwa sisi tupo mbali au ni jezi kwa wana-Michuzi Group wakiwa kazini.Mambo mazito.
    Mikidadi-Denmark

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 10, 2014

    Baabu kubwa Ankal, Big Up
    wadau
    FFU

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 10, 2014

    mikonoz michuzi bado hujawacha za mikonoz kukumbatia wariii

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 11, 2014

    The mdudu,mjomba tafadhari sn naomba mniwekee yenye rangi ya bendera ya nchi yetu pendwa ya TZKwanza mm ni mzalende nguli nisie na mfano huku ugaibuni mm nimeapa kufa na majirani zetu mchwara wanaotubeza kwakila kitu wakati kwao NJAA MTU kwa bahati mbaya waliokutana nayo toka kwangu ni ya kuzijua vizuri na kiundani kabisa nchi zao The mdudu nimeshaishi K,U,B,R ndio maana nawanyima usingizi kabisaa

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 11, 2014

    Ankali Michuzi wewe kweli ni Banker na Economist mzuri sana!

    Umesoma alama za nyakati kwa kuanzisha mpango ambao ni wazai utakuwa umetukamata kabisa, nataka na mimi ze Michuzi Fulanazzz!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...