Sehemu ya muonekano wa banda hilo ndani ya viwanja vya Mwalimu JK Nyerere kunakofanyuika maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya saba saba.
  Wadau mbalimbali wakipita kwenye banda hilo kujipatia maelezo ya hapa na pale.
"Wageni wote wanakaribishwa kwenye banda la Diaspora..."anasema Bi Lucy Naivasha, ambaye ni meneja wa Tanzanite Account ya CRDB ambayo imeboreshwa kuhudumia vyema walio ughaibuni na hata wa hapa nyumbani. Banda lao lipo ndani ya banda kuu la Tanzania

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 05, 2014

    WADAU. Jiungeni na WESTADI. Ya NSSF NA MNUTAIKE NA MUOKOE GHARAMA ZA USAFIRISHA MIILI YA WATANZANIA WANAOFIA NJE YA NCHI.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 06, 2014

    Unafungua vipi account hii ya benki?Lazima mtu awepo Dar es salaam kufungua hiyo account?Hakuna maelezo ya kutosha kwenye tovuti ya CRDB.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...