Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali ya kampuni hiyo  kwa ajiri ya wafanyakazi wake  ikiwa ni sehemu ya  muendelezo wa mfungo wa mwezi  mtukufu wa ramadhani. Hafla hiyo ilifanyika makao Makuu Mlimani City jijini Dar es Salaam.
.Meneja wa Vodacom Foundation,Grace Lyon akishiriki katika futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali ya kampuni hiyo  kwa ajiri ya wafanyakazi wake  ikiwa ni sehemu ya  muendelezo wa mfungo wa mwezi  mtukufu wa ramadhani. Hafla hiyo ilifanyika makao Makuu Mlimani City jijini Dar es Salaam.
 :Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali ya kampuni hiyo  kwa ajiri ya wafanyakazi wake
 :Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali ya kampuni hiyo  kwa ajiri ya wafanyakazi wake
 Mkuu wa Idara ya Mauzo na biashara wa Vodacom Tanzania Ally Z.Ally akishiriki katika futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali ya kampuni hiyo  kwa ajiri ya wafanyakazi wake  ikiwa ni sehemu ya  muendelezo wa mfungo wa mwezi  mtukufu wa ramadhani. Hafla hiyo ilifanyika makao Makuu Mlimani City jijini Dar es Salaam.
 Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania, Salehe Mohamed akishiriki katika futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali ya kampuni hiyo  kwa ajiri ya wafanyakazi wake  ikiwa ni sehemu ya  muendelezo wa mfungo wa mwezi  mtukufu wa ramadhani. Hafla hiyo ilifanyika makao Makuu Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakishiriki katika Futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali watu ya kampuni hiyo  kwa ajili ya wafanyakaziwake  ikiwa ni sehemu ya mwenzi mtukufu wa ramadhani hafla hiyo ilifanyika makao Makuu ya kampuni hiyo yaliyopo Mlimani City jijini Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 15, 2014

    Funga???Futari???? wanawake na wanaume wanachanganyika??? wanawake hawajajihifadhi???? vichwa wazi, vifuani maziwa yanachungulia???? haya bwana, tukisema tutaambiwa siasa kali.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...