Waziri wa Mambo ya Ndani, Mh Mathias Chikawe atakuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa kangamano la usalama wa mitandao (Cyber Defense East Africa 2014) tar 16-19 Septemba.

Wadau mbalimbali wa sekta ya ulinzi na usalama wa mitandao wakiwemo wanasheria, wakaguzi wa kifedha na wale wa mitandao, wataalamu wa utunzaji mifumo ya kopyuta na mitando yake, wakuu wa vitengo vya TEHAMA wanatarajiwa kuhudhuria kongamano hilo. 

Mkutano wa ulinzi na usalama wa mitandao hufanyika kila mwaka hapa Tanzania na kuwavutia wadau wa ndani nan je ya nchi kwa ujumla. Mwaka huu wataalumu kutoka nchi za ulaya waliobobea katika masuala ya “digital forensic, cyber security, governance and cyber laws” watakuwepo. Watakuwepo pia jeshi la polisi kitengo cha uhalifu wa mitandao (Cyber-crime unit), TCRA and Legal Sector Reform”
Nafasi ni chache. 

Kujisajili Tuma barua pepe kwenda registration@nrd.no  or piga simu namba +255719253037



Nyote Mnakaribishwa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. This is such a nice initiative. we need this kind of effort from stakeholders. big up for NRD EA for such great job

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...