Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakiwasili katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwandaliwa kilichopo Bunju, jijini Dar es salaam. Vodocom ilitemebela kituoni hapo kukakidhi hundi ya Sh. 20 kutoka Vodacom Foundation kusaidia mradi wa ushonaji na ufugaji unaondeshwa na kituo hicho. 
 Mkuu wa Idara ya Huduma kwa Jamii wa Vodafone Laura Turkington akiwa na watoto wanaolelewa kwenye kituo cha Mwandaliwa wakifurahia picha kupitia simu ya mkononi ya Laura. Wafanyakazi wa Vodacom  walitembelea kituoni hapo kukakidhi hundi ya Sh. 20 kutoka Vodacom Foundation kusaidia mradi wa ushonaji na ufugaji unaondehswa na kituo hicho
 Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Mawasiliano ya Vodacom Rosalyn Mworia akigawa vitabu vya kujifunzia mambo mbalimbali vilivyochangwa na wafanyakazi wa Vodacom kusaidia watoto wa kituo cha yatima cha Mwandaliwa. Mbalina vitabu na vifaa vya kuchezea, Vodacom Foundation nayo ilikabidhi Sh 20 Milioni kusaidia mradi wa ushinjai na ufugaji wa kituo hicho.
 Mkurugenzi wa Kituo cah mwandaliwa Islami cha Bunju jijini Dar es salaam Halima Ramadhan akiipitia kwa umakini mfano wa hundi mara baada ya kukabidhiwa na wafanyakazi wa Vodacom. Fedha hizo zimetolewa na Vodacom Foundation   kusaidia mradi wa ushinjai na ufugaji wa kituo hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...