Gari aina ya Nissan Hard Body yenye Namba za Usajili T 524 ALW likiwa limetupwa mtaroni na trela la lori (halipo pichani) ambalo
lililigonga gari hilo na kutumbukia mtaroni eneo la Afrikana Mbezi
Beach Mchana wa leo. Katika Ajali hiyo iliyohusisha Lori na gari aina ya
Nissan Hard Body hakuna mtu yoyote aliyepoteza Maisha
Wananchi
wakisaidia Kulifunga minyororo gari aina ya Nissan Hard Body ambayo
imetumbukia mtaroni mara baada ya Kugongwa na trela la lori (halipo pichani) mchana wa leo katika Eneo la Mbezi Afrikana
Wananchi
wakisaidia kuligeuza gari ndogo aina ya Nissan Hard Body iliyotumbukia
mtaroni eneo la Afrikana Mbezi Beach mara baada ya Kugongwa na trela la
lori (halipo pichani) mchana wa leo, katika ajali hiyo hakuna
aliyepoteza maisha. Picha zote na Josephat Lukaza Wa Lukaza Blog
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...