Marehemu Bi Aziza enzi za uhai wake.
Kikundi cha Unity Of Women Friends,Kupitia mradi wao wa Mwanamakuka Awards  na Washirika wake,Benki ya Wanawake TWB na Clouds Media Group,Wana tangaza kwa masikitiko makubwa ya kumpoteza mshindi wa mwaka jana 2013,Bi Aziza  Mbogolume (pichani).
Bi Aziza amefarika mapema jana mchana jijini Dar es salaam,mazishi yake yanatarajiwa kufanyika leo mnamo majira ya saa 9,na msiba upo nyumbani kwake Magomeni mwembechai.Aziza alikuwa ni Mwanamke jasiri mwenye uthubutu wa kufanya biashara kupitia kipaji chake cha Kuchora .
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI  PEMA PEPONI-AMIN

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiC7w1GMu-9A2vb-_VMlYRMxLH-0rn-iCt22cp6WiodsIRpJqvu6gh7anvqsMQ2CLxw-Fp4I-8Ct5GbiFkTRrZtViD4-n48dh2IiB8rmToYtSIXwEf7I9jP0Yww4z4Knxb4Kiy5/s1600/03.jpg
Aziza Mbogolume (wa pili kulia) enzi za uhai wake wakati akipokea mfano wa hundi baada ya kushinda tuzo ya Mwanamakuka 2013 kutoka kwa Mke wa Makamu wa Rais, Aisha Bilal.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi4RV7tHEXRx2jtiXa0ZSqYSyMQ6KRn6L6Ot2hLAqNcSEB_E8nlbnmxUeahsNigKsHyFXnGRA6bvhZkoc-36gIXJD2-er2iEOEzjpa2ARXtDJgGlgoXBbzQQlpJJoaUR6dexDDTdA/s640/DSC_3104.JPG
Baadhi ya viongozi waratibu wa shindano la Tuzo za Mwanakuka wakistaajabia kazi za mikono ya Aziza Mbogolume (wa pili toka kushoto) enzi za uhai wake katika maonesho ya mwaka huu yaliyofanyika Escape 1 Mikocheni jijini Dar



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...