Mhe. Balozi Liberata Mulamula akiwasili kwenye kituo cha kupigia kura katika uchaguzi wa DMV unaoendelea sasa hivi Wheaton, Maryland nchini Marekani hapa mhe. Liberata Mulamula akilakiwa na mgombea makamu wa Urais Bi. Salma Moshi na Bwn. Idd Sandaly, Rais wa Jumuiya ya Wtanzania anyaemariza muda wake na ambaye pia anagombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi huo.
Mhe. Libarata Mulamula akisalimiana na kampeni meneja wa mgombea wa Urais Liberatus Mwang'ombe Bi. Muna
 Mgombea wa Urais Liberatus Mwang'ombe akimsindikia Mhe. Balozi kuahakiki jina lake.
Mhe. Balozi Liberata Mulamula akihakiki jina lake.

Mhe. Balozi Liberata Mulamula akisalimiana na mmoja wa Wajumbe wa kamati ya uchaguzi Bwn. Sunday Shomari.

Mhe. Balozi akipiga kura yake.

 Mhe. Balozi akitumbukiza kuara yake.
Balozi akiwahutubia wanaDMV Hebu msikilize hapo chini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Naona wenzetu wa huko mko well organised! Siyo kama sisi hapa UK .. Tumekalia longo longo tu..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...