Naibu Mkamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB), anayeshughulikia Masuala ya Fedha, Dk.
Elifuraha Mtalo (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoaj na washiriki wa mkutano kuwajengea uwezo maofisa wa
serikali wa kujadili mikataba inayohusu uwekezaji
pamoja na biashara, walipotembelea Ofisi
za Chuo Kikuu cha Bagamoyo zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kimataifa wa kuwajengea uwezo maofisa wa serikali kuhusu uandikaji wa mikataba inayohusu Uwekezaji na Biashara wakiwa katika majadiliano wakati wa mkutano huo. Washiriki katika mkutano huo wanatoka katika nchi 15 nchi za Afrika Mashariki, Afrika ya Kati na Afrika Kusini. Mkutano huo umeandaliwa na Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB), Nordic Africa Institute (NAI) kwa kushirikiana na Trans African University Partnership (TANUP/PUTA), pamoja na Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Sweden (SiDA) na FAO.zinazoendelea. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...