Meneja Uendeshaji wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania,Ronald Baraka Shelukindo (kushoto) akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari (wahapo pichani) waliofika kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa Msimu wa Ligi kuu za Soka barani Ulaya unaotaraji kuanza mapeka wiki ijavyo katika viwanja mbali mbali,mechi hizo zote zitakuwa zikionyeshwa kupitia channel za michezo za Super Spotr zilizopo kwenye king'amuzi chao cha DStV.hafla hiyo imefanyika leo kwenye hoteli ya New Afrika,Jijini Dar es Salaam.Katikati ni Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania,Barbara Kambogi na kulia ni Meneja Mauzo wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania,Salum Salum.
Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania,Barbara Kambogi akifafanua jambo kwa baadhi ya waandishi wa habari (wahapo pichani) waliofika kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa Msimu wa Ligi kuu za Soka barani Ulaya unaotaraji kuanza mapeka wiki ijavyo katika viwanja mbali mbali,hafla hiyo imefanyika leo kwenye hoteli ya New Afrika,Jijini Dar es Salaam.
Meneja Mauzo wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania,Salum Salum akielezea namna walivyojipanga kwenye swala zima la mauzo na hivyo wateja wao wasiwe na wasiwasi kwani mabo yako sawa kabisa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...