Ndege ya Kampuni ya Flightlink iliyowasili nchini hivi karibuni,ikiwa imeegeshwa katika eneo lake kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius K. Nyerere jijini Dar es salaam.Ndege hii aina ya Embraer 120 inauwezo wa kubeba abiria 30 na itakuwa ikifanya safari zake katika Mikoa ya Dar es salaam, Dodoma, Zanzibar,Arusha na Pemba.
Muonekano wa siti ndani ya Ndege hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. naomba kuelimishwa kidogo na muandishi wa habari hii, hivi mkaoa wa zanzibar uko sehemu gani ya Tanzania na pia toka lini pemba ni mkoa?

    ReplyDelete
  2. yote hiyo ni mikoa ulikua hujui....

    ReplyDelete
  3. Kengine wamekosea kuandika zanzibar alafu Pemba kwahiyo Pemba sio Zanzibar au Pemba ya Msumbiji? Ndio unakuta mtu kila anayetokea Zanzibar atamuita Mpemba wengine wanatokea Unguja watu Zanzibar ni Kisiwa cha Unguja na pemba.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...