Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. hahaha..hamna lolote

    ReplyDelete
  2. Kama uhalisia haupo,basi si mbaya kuishi kwa njozi.

    ReplyDelete
  3. The mdudu,mjomba Michuzi usiwe kama waandishi wengine mchwala coz ww ndio kio chetu cha jamii ya kitanzania hasa hasa sisi wa ugaibuni tunakuamini sn na kukuthamini kwa habari zako za chapu chapu hilo hata CNN wanakujua vilivyo,sasa najiuliza why utuwekee kitu Mwanana kama hiki then HAKINA MAELEZO YOYO MAZURI zaidi ya hapo vipi? Hapo sawa tena sawa kabisa wengine tunausongo na shirika letu tunataka kuona Madude kama hayo,,Naapa kwa mungu wangu siku ndege zetu zitakapopiga masafa marefu mpaka huku ugaibuni sitopanda ndege yoyote ile zaidi ya AIR TANZANIA au ukipenda ita Twiga mnyonge asante sn mjomba kwa hii picha ila tunahitaji maelezo ya kutosha,yaani majirani zetu mchwala wananinyima raha sn kwenye hili eneo lakini mambo mengi nimeshaanza kuwakaba koo hasa hasa jeshi letu la JWTZ kwa mambo makubwa waliofanya kule DRC KONGO yaani huku mm natembea kwa mikogo yote huku nikiwachefua hao majirani mchwala.

    ReplyDelete
  4. Hapo ni ndoto ya mchana.

    ReplyDelete
  5. Hapo sawa vipi ni photo-shop nini?

    ReplyDelete
  6. isije ikawa ni ya kukodi ...

    Tango Mike (Arusha)

    ReplyDelete
  7. That's whatta i'm talking about!!!!! Super fly!

    ReplyDelete
  8. Hapo inatua wapi? Mwanza? Hizo ndoto za Alinacha. Wezi ni wezi, hata ukiwapa dhahabu, gesi ama mafuta wataiba tu ili wanunue eti RAV4 na kujenga Mbezi Beach huku nchi ikifilisika!! Hicho ndio kipimo chao cha maendeleo.

    ReplyDelete
  9. aaaaaah..wapi sioni....na sidhani...kama ni karibu labda +50....

    ReplyDelete
  10. Umeshindwa ku-photoshop kilima hicho. Hiyo ni JAL inatua Kansai Airport, Japan.

    ReplyDelete
  11. THAT'S BEAUTIFUL, I LOVE THAT.

    ReplyDelete
  12. Where was here? Mwanza? Do we really got such a Boeing? That would be awesome! !

    ReplyDelete
  13. Lingekuwa letu ingalikuwa fahari kweli. Lakini tutaviotea tu vitu kama hivi kwa namna mambo yanavyoendeshwa bongo.

    ReplyDelete
  14. NATAKA HIYO

    ReplyDelete
  15. watu wa enzi izo ndio walikula atcl mpaka vifaa sio sasa hivi itabaki kuwa story kwamba atcl ilikuwa inaenda hadi London nonstop...........

    ReplyDelete
  16. Hiyo ni nchi gani kwani ni hatari sana njia ya ndege kuwa kando kando ya maji labda ni photoshop

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...